Faida za asali na mdalasini

Nimeikuta mahali, naibandika kama ilivyo, itusaidie sote jamani!

Imeonekana kuwa asali ukichanganya na mdalasini inatibu maradhi
mengi.Inshallah leo nitaandika kidogo juu ya asali na mdalasini.

Arthritis:
Chukua asali na maji ya dafidafi na uchanganye na mdalasini kidogo
(unga wa mdalasini) changanya uzuri na baadae ujipake sehemu inayouma.
Pia Mwenye ugonjwa huu kila siku asubuhi na usiku atie maji ya moto
(dafidafi) achanganye na vijiko 2 vya meza vya asali na kijiko kimoja
cha unga wa mdalasini anywe kila siku.

Hair loss (utokaji wa nywele):
Kwa wale wote wenye matatizo ya kutoka nywele achukue mafuta ya olive
na ayapashe kidogo achange na kijiko kimoja cha asali, na kijiko
kimoja cha unga wa mdalasini apake katika nywele na awache kwa muda wa
dakika 15 na baadae akoshe.

Toothache (kuumwa na jino):
Changanya kijiko kimoja cha unga wa mdalasini na vijiko vitano vidogo
vya asali na upake katika jino linalouuma,paka mara 3 kwa siku.

Cholesterol:
Vijiko 2 vya asali na vijiko 3 vya unga wa mdalasini changanya na
ounce 16 ya chai (chai kavu), inapunguza mafuta ndani ya mwili kwa 10&
kwa muda wa masaa 2 tu. Ukinywa kila siku utapunguza mafuta ndani ya
mwili.


Gas:
Changanya asali na mdalasini katika kijiko kikubwa cha meza na unywe.

Ulcers:
Changanya asali na madalasini unywe kila siku.

Heart Disease (Maradhi ya moyo):
Changanya aali na mdalasini na upake katika mkate kuliko kutimia jam
au siagi, na ule kila siku wakati wa chakula cha asubuhi, inapunguza
mafuta katika mishipa ya moyo na inasaidia mtu kupata heart attack,
hata hivo kwa wale waliokuwa washapata heart attack wakitumia hivi
siku zote Inshallah heart attack itaondoka.

Immune Sytem(kujikinga):
Kla siku tumia asali ukicanga na mdalasini inasaidia kuongeza nguvu
katika mwili na inasaidia kuoingeza White blood cells waweze kupigana
na wadudu wa maradhi tofauti.

Pimples:
Vijiko vidogo 3 vya asali na kimoja cha unga wa mdalasini changanya
pamoja na ujipake kwenye pimples usiku wakati wa kulala na asubuhi
ukoshe uso kwa maji ya dafidafi, fanya hivi kwa muda wa wiki mbil
pimples zote huondoka.

Skin Infection(Maradhi ya ngozi):
Cchanganya asali na mdalasini kiwango kimoja na ujipake pia huondoa
ringworms eczema na maradhi yote ya ngozi.

Weith loss (kupunguza uzito):
Kila siku asubuhi kabla kula chakula chochote asubuhi kabla saa
1/2kula chakula cha asubuhi na usiku wakati wa kulala, changanya
asali, mdalasni katika maji ya moto na unywe kila siku hupunguza
mafuta na pia ukiwa unatumia siku zote hata ukila vyakula vya mafuta
basi mafuta hayakai katika mwili.

Cancer:
Kunywa kijiko kimoja cha asali na kijiko kimoja cha mdalasini kwa muda
wa mwezi kila siku mara 3.

Hearing Loss (uziwi):
Kila siku asubuhi na usiku kunywa asali na mdalasini kwa kiwango kimoja.

Bad breath(Harufu mbaya ya kinywa):
Kila siku asubuhi changanya asali na mdalasini aktika maji ya moto na usukutie.

No comments:

Post a Comment