Uzinduzi wa Single ya Diamond.....kimitindo zaidi


 Uzinduzi wa single mpya ya mwanamuziki Diamond, ulifana kwa kiasi cha aina yake katika hoteli ya Serena (Movepick Dar es salaam).

Nilibahatika kuwepo, pamoja na mambo mengine nilikuwa naangalia mitindo ya nywele, nguo hadi viatu..bila kusahahu accesories..na hawa ni baadhi tu ya walionivutia.


Irine Uwoya, kwa kweli alipendeza saaaana, tena naweza kusema kuliko wengi kama sio wote waliofika. Alivaa kiafrika, na kitenge kilimkaa mnoo..mtindo wa nywele simpo, na hakujiza makeup usoni...dooh alitoka mwake mwake
 

Penny...mama Diamond alitoka kiasi chake..alichanganya African Print na mikogo ya nje..nywele simple ila makeup kidoogo ilizidi, ila sio mbaya
 
Shadee na Salma, kwanza nilipenda mitindo ya nywele zao, na jinsi walivyotoka simple, walinivutia.

                                                  NI HAYO TU KWA LEO

No comments:

Post a Comment